NAFASI 23 ZA AJIRA MPYA KUTOKA HALMASHAURI YA WILAYA YA WANG’ING’OMBE.

NAFASI 23 ZA AJIRA MPYA KUTOKA HALMASHAURI YA WILAYA YA WANG’ING’OMBE.

Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe anatangaza nafasi za kazi zilizotokana na kibali cha ajira kipya chenye Kumb. Na. FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29/04/2025 kutoka Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.

Waombaji wenye sifa wanakaribishwa kuomba nafasi kama zilivyoainishwa hapa chini:

Ajira mpya zilizotangazwa na Maelezo

Kada ya Kazi Idadi ya Nafasi Sifa za Mwombaji Ngazi ya Mshahara
Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja II 4 – Elimu ya Kidato cha IV/VI- Stashahada (Diploma NTA Level 6) ya Masjala kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali- Ujuzi wa kompyuta TGS C1
Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja II 5 – Elimu ya Kidato cha IV/VI- Diploma ya Uhazili au Cheti cha NTA Level 6- Uwezo wa hatimkato maneno 100/min (Kiswahili & Kiingereza)- Ujuzi wa programu za ofisi (Word, Excel, PowerPoint, Internet, Email, Publisher) TGS C1
Dereva Daraja II 13 – Elimu ya Kidato cha IV/VI- Leseni daraja E au C yenye uzoefu ≥ mwaka 1 bila kusababisha ajali- Cheti cha Basic Driving Course (VETA au chuo kinachotambuliwa na Serikali) TGS B1
Muhudumu wa Boti (Deckhand Auxiliaries) 1 – Elimu ya Kidato cha IV- Cheti cha Teknolojia ya Uvuvi (FETA) au Cheti cha Uhudumu wa Meli (DMI) au sifa inayolingana kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali TGOS A

Masharti ya Jumla:

  1. Mwombaji awe raia wa Tanzania mwenye umri kuanzia miaka 18 na usiozidi 45.
  2. Wenye ulemavu wanahamasishwa kuomba na waeleze aina ya ulemavu kwenye mfumo wa maombi.
  3. Waambatishe wasifu binafsi (CV) yenye mawasiliano na majina ya wadhamini watatu.
  4. Vyeti vyote vya elimu na taaluma viwe vimeidhinishwa na Mwanasheria/Wakili.
  5. Vyeti vya provisional results, statement of results na result slips (Form IV & VI) havikubaliki.
  6. Waombaji wa kada ya dereva waambatishe vyeti vya mafunzo ya udereva.
  7. Waombaji waliostaafu Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kwa kibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.
  8. Vyeti vya nje ya nchi viwe vimehakikiwa na mamlaka husika (TCU, NECTA, NACTVET).
  9. Taarifa za kughushi hazitakubalika na hatua kali za kisheria zitachukuliwa.

Jinsi ya Kutuma Maombi

Barua ya maombi ielekezwe kwa:

Mkurugenzi Mtendaji
Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe
S.L.P. 64,
Njombe.

Mwisho wa kutuma maombi: 01 Septemba, 2025

balislot situs hk pools situs toto depo 5k slot gacor 5k sumseltoto situs toto rupiahbet balislot situs toto rupiahbet situs toto rupiahbet rupiah bet slot 5000 slot 5k kudahoki kudahoki rupiahbet slot gacor situs toto RUPIAHBET RUPIAHBET slot gacor slot gacor situs hk pools situs hk pools hk pools toto hk hk pools hk pools situs toto slot depo 5k slot depo 5k toto hk slot gacor hk pools rupiahbet situs slot gacor slot 5k rupiahbet slot thailand toto hk situs slot gacor slot depo 5k luminos.id situs slot mahjong toto slot rupiahbet slot 5k rupiahbet rupiahbet rupiahbet rupiahbet rupiahbet ladangtoto rupiahbet
slot gacor rupiahbet rupiahbet rupiahbetper rupiahbet rupiahbet rupiahbet sekalibet desabet desabet desabet desabet desabet desabet desabet desabet desabet desabet desabet desabet
  • hk pools
  • situs toto slot gacor slot gacor slot gacor bandar togel judi bola slot gacor slot777 slot gacor slot gacor slot gacor slot gacor slot gacor situs slot slot gacor slot gacor toto slot slot gacor situs toto
  • toto slot/li>
  • hk pools
  • bandar togel
  • slot gacor
  • slot gacor
  • rejekibet
  • hk pools
  • situs hk pools
  • toto togel
  • toto togel
  • toto togel
  • situs togel
  • toto togel
  • situs slot
  • Hongkong Pools
  • desa bet
  • slot dana/li>
  • toto slot
  • situs togel
  • slot gacor
  • slot gacor
  • situs togel
  • situs togel
  • toto togel
  • SBOBET
  • situs hk pools
  • slot gacor
  • toto togel
  • toto togel
  • kudamania
  • slot gacor
  • hongkong pools
  • slot gacor
  • situs toto
  • kudamania
  • slot gacor
  • situs toto
  • slot maxwin